Filter Results
Keputusan: ( 1 sehingga 1 daripada 1 )
(0.021 saat)
#1
At-Tawba
:60
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Wa
kupewa
sadaka
ni
mafakiri,
na
masikini,
na
wanao
zitumikia,
na
wa
kutiwa
nguvu
nyoyo
zao,
na
katika
kukomboa
watumwa,
na
wenye
madeni,
na
katika
Njia
ya
Mwenyezi
Mungu,
na
wasafiri.
Huu
ni
waajibu
ulio
faridhiwa
na
Mwenyezi
Mungu.
Na
Mwenyezi
Mungu
ni
Mwenye
kujua
Mwenye
hikima.
]
[ إنما الصدقات للفقراء والمساكين والعاملين عليها والمؤلفة قلوبهم وفي الرقاب والغارمين وفي سبيل الله وابن السبيل فريضة من الله والله عليم حكيم ] — التوبة 60