Filter Results
Keputusan: ( 1 sehingga 1 daripada 1 )
(0.025 saat)
#1
Muhammad
:12
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Hakika
Mwenyezi
Mungu
atawaingiza
walio
amini
na
wakatenda
mema
katika
Bustani
zipitiwazo
na
mito
kati
yake.
Na
walio
kufuru
hujifurahisha
na
hula
kama
walavyo
wanyama,
na
Moto
ndio
makaazi
yao.
]
[ إن الله يدخل الذين آمنوا وعملوا الصالحات جنات تجري من تحتها الأنهار والذين كفروا يتمتعون ويأكلون كما تأكل الأنعام والنار مثوى لهم ] — محمد 12