Filter Results
ئەنجام: ( 1 بۆ 3 ليرەوە 3 )
(0.022 دووةم)
#1
البقرة
:123
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Na
iogopeni
siku
ambayo
hatamfaa
mtu
mwenziwe
kwa
lolote,
wala
hakitakubaliwa
kwake
kikomboleo,
wala
maombezi
hayatamfaa,
wala
hawatanusuriwa.
]
[ واتقوا يوما لا تجزي نفس عن نفس شيئا ولا يقبل منها عدل ولا تنفعها شفاعة ولا هم ينصرون ] — البقرة 123
#2
لقمان
:33
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Enyi
watu!
Mcheni
Mola
wenu
Mlezi,
na
iogopeni
siku
ambayo
mzazi
hatamfaa
mwana,
wala
mwana
hatamfaa
mzazi
kwa
lolote.
Hakika
ahadi
ya
Mwenyezi
Mungu
ni
ya
kweli.
Basi
yasikudanganyeni
maisha
ya
dunia,
wala
asikudanganyeni
na
Mwenyezi
Mungu
mdanganyifu.
]
[ يا أيها الناس اتقوا ربكم واخشوا يوما لا يجزي والد عن ولده ولا مولود هو جاز عن والده شيئا إن وعد الله حق فلا تغرنكم الحياة الدنيا ولا يغرنكم بالله الغرور ] — لقمان 33
#3
الدخان
:41
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani