Filter Results
結果: ( 1 に 1 の 1 )
(0.024 秒)
#1
Ar-Ra'd
:25
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Na
wale
wanao
vunja
ahadi
ya
Mwenyezi
Mungu
baada
ya
kuzifunga,
na
wanakata
aliyo
amrisha
Mwenyezi
Mungu
yaungwe,
na
wanafanya
fisadi
katika
nchi:
hao
ndio
watakao
pata
laana,
na
watapata
Nyumba
mbaya.
]
[ والذين ينقضون عهد الله من بعد ميثاقه ويقطعون ما أمر الله به أن يوصل ويفسدون في الأرض أولئك لهم اللعنة ولهم سوء الدار ] — الرعد 25