Filter Results
Hasil: ( 1 Ke 1 Dari 1 )
(0,022 Kedua)
#1
Al-Hajj
:11
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Na
katika
watu
wapo
wanao
muabudu
Mwenyezi
Mungu
kwa
ukingoni.
Ikimfikia
kheri
hutulia
kwayo,
na
ukimfikia
msukosuko
hugeuza
uso
wake.
Amekhasiri
dunia
na
Akhera;
hiyo
ndiyo
khasara
iliyo
wazi.
]
[ ومن الناس من يعبد الله على حرف فإن أصابه خير اطمأن به وإن أصابته فتنة انقلب على وجهه خسر الدنيا والآخرة ذلك هو الخسران المبين ] — الحج 11