Filter Results
النتائج: ( 1 الى 1 من 1 )
(0,023 ثانية)
#1
الأعراف
:203
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Na
usipo
waletea
Ishara
waitakayo
husema:
Kwa
nini
hukuibuni?
Sema:
mimi
ninafuata
yanayo
funuliwa
kwangu
kutokana
na
Mola
Mlezi
wangu.
Hii
(Qur'ani)
ni
hoja
zinazo
toka
kwa
Mola
wenu
Mlezi,
na
uwongofu
na
rehema
kwa
watu
wanao
amini.
]
[ وإذا لم تأتهم بآية قالوا لولا اجتبيتها قل إنما أتبع ما يوحى إلي من ربي هذا بصائر من ربكم وهدى ورحمة لقوم يؤمنون ] — الأعراف 203