Filter Results
النتائج: ( 1 الى 8 من 8 )
(0,024 ثانية)
#1
البقرة
:60
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Na
Musa
alipo
omba
maji
kwa
ajili
ya
watu
wake,
tulimwambia:
Lipige
jiwe
kwa
fimbo
yako.
Mara
zikatimbuka
chemchem
kumi
na
mbili;
kila
kabila
ikajua
mahali
pake
pa
kunywea.
Tukawaambia:
Kuleni
na
mnywe
riziki
ya
Mwenyezi
Mungu,
wala
msiasi
katika
nchi
mkafanya
uharibifu.
]
[ وإذ استسقى موسى لقومه فقلنا اضرب بعصاك الحجر فانفجرت منه اثنتا عشرة عينا قد علم كل أناس مشربهم كلوا واشربوا من رزق الله ولا تعثوا في الأرض مفسدين ] — البقرة 60
#2
محمد
:19
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Basi
jua
ya
kwamba
hapana
mungu
ila
Mwenyezi
Mungu,
na
omba
maghufira
kwa
dhambi
zako
na
za
Waumini
wanaume
na
Waumini
wanawake.
Na
Mwenyezi
Mungu
anajua
mahali
penu
pa
kwenda
na
kurudi,
na
mahali
penu
pa
kukaa.
]
[ فاعلم أنه لا إله إلا الله واستغفر لذنبك وللمؤمنين والمؤمنات والله يعلم متقلبكم ومثواكم ] — محمد 19
#3
غافر
:55
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
#4
يوسف
:29
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
#5
آل عمران
:17
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
#6
الأعراف
:200
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
#7
الذاريات
:19
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani