Filter Results
ഫലങ്ങള്: ( 1 വരെ 3 ന്റെ 3 )
(0.033 നിമിഷങ്ങള്)
#1
Al-Baqarah
:74
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
[
Kisha
nyoyo
zenu
zikawa
ngumu
baada
ya
hayo,
hata
zikawa
kama
mawe
au
ngumu
zaidi;
kwani
kuna
mawe
yanayo
timbuka
mito,
na
kuna
mengine
yanayo
pasuka
yakatoka
maji
ndani
yake,
na
kuna
mengine
huanguka
kwa
sababu
ya
khofu
ya
Mwenyezi
Mungu.
Na
Mwenyezi
Mungu
si
mwenye
kughafilika
na
mnayo
yafanya.
]
[ ثم قست قلوبكم من بعد ذلك فهي كالحجارة أو أشد قسوة وإن من الحجارة لما يتفجر منه الأنهار وإن منها لما يشقق فيخرج منه الماء وإن منها لما يهبط من خشية الله وما الله بغافل عما تعملون ] — البقرة 74
#2
Ar-Rahman
:37
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani
#3
At-Tariq
:12
— SW
, Ali Muhsin Al-Barwani